Psalms 106:32-33


32 aKwenye maji ya Meriba, walimkasirisha Bwana,
janga likampata Mose kwa sababu yao;
33 bkwa maana walimwasi Roho wa Mungu,
na maneno yasiyofaa yakatoka midomoni kwa Mose.
Copyright information for SwhNEN